Ezekieli 42:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 ilikuwa kama milango ya vyumba vya kusini vya kulia chakula. Kulikuwa na mlango mahali ambapo njia ilianzia, kabla ya ukuta wa mawe uliokuwa upande wa mashariki, mahali ambapo mtu angeweza kuingilia.+
12 ilikuwa kama milango ya vyumba vya kusini vya kulia chakula. Kulikuwa na mlango mahali ambapo njia ilianzia, kabla ya ukuta wa mawe uliokuwa upande wa mashariki, mahali ambapo mtu angeweza kuingilia.+