Ezekieli 45:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na kwa siku hizo saba za sherehe+ atamtolea Yehova toleo zima la kuteketezwa la ng’ombe-dume saba wachanga na kondoo-dume saba, ambao hawana kasoro, kila siku kwa siku saba,+ na kuwa toleo la dhambi atatoa dume la mbuzi kila siku.+
23 Na kwa siku hizo saba za sherehe+ atamtolea Yehova toleo zima la kuteketezwa la ng’ombe-dume saba wachanga na kondoo-dume saba, ambao hawana kasoro, kila siku kwa siku saba,+ na kuwa toleo la dhambi atatoa dume la mbuzi kila siku.+