Ezekieli 46:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye mkuu hatachukua urithi wowote wa watu ili kuwalazimisha waondoke katika miliki yao.+ Atawapa wanawe urithi kutoka kwenye miliki yake mwenyewe, ili watu wangu wasitawanyike kila mmoja mbali na miliki yake.’ ”+
18 Naye mkuu hatachukua urithi wowote wa watu ili kuwalazimisha waondoke katika miliki yao.+ Atawapa wanawe urithi kutoka kwenye miliki yake mwenyewe, ili watu wangu wasitawanyike kila mmoja mbali na miliki yake.’ ”+