Danieli 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nebukadneza akawauliza: “Je, ni kweli, enyi Shadraki, Meshaki na Abednego, kwamba ninyi hamwitumikii miungu yangu,+ wala sanamu ya dhahabu ambayo nimeisimamisha hamwiabudu?+ Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 3:14 dp 75 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:14 Unabii wa Danieli, uku. 75 Mnara wa Mlinzi,12/1/1988, uku. 15
14 Nebukadneza akawauliza: “Je, ni kweli, enyi Shadraki, Meshaki na Abednego, kwamba ninyi hamwitumikii miungu yangu,+ wala sanamu ya dhahabu ambayo nimeisimamisha hamwiabudu?+