Danieli 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Naye Yehova akakaa macho kuelekea msiba huo na mwishowe akauleta juu yetu,+ kwa maana Yehova Mungu wetu ni mwadilifu katika kazi zake zote ambazo amefanya; nasi hatukutii sauti yake.+ Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 9:14 dp 183 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:14 Unabii wa Danieli, uku. 183
14 “Naye Yehova akakaa macho kuelekea msiba huo na mwishowe akauleta juu yetu,+ kwa maana Yehova Mungu wetu ni mwadilifu katika kazi zake zote ambazo amefanya; nasi hatukutii sauti yake.+