Hosea 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nimeona jambo lenye kuchukiza+ sana katika nyumba ya Israeli. Humo Efraimu+ anafanya uasherati. Israeli amejitia unajisi.+
10 Nimeona jambo lenye kuchukiza+ sana katika nyumba ya Israeli. Humo Efraimu+ anafanya uasherati. Israeli amejitia unajisi.+