Hosea 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana ingawa wanalea wana wao, mimi pia nitawaondolea watoto wao hata kusiwe na mtu;+ kwa sababu—ole wao pia nitakapogeuka kutoka kwao!+
12 Kwa maana ingawa wanalea wana wao, mimi pia nitawaondolea watoto wao hata kusiwe na mtu;+ kwa sababu—ole wao pia nitakapogeuka kutoka kwao!+