Amosi 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova alinifanya nione, na, tazama! alikuwa akifanyiza kundi la nzige mwanzoni mwa kuota kwa mimea iliyopandwa baadaye.+ Na, tazama! ilikuwa mimea iliyopandwa baadaye baada ya majani yaliyofyekwa ya mfalme. Amosi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 7:1 w07 10/1 14 Amosi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:1 Mnara wa Mlinzi,10/1/2007, uku. 144/1/1989, kur. 22-23
7 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova alinifanya nione, na, tazama! alikuwa akifanyiza kundi la nzige mwanzoni mwa kuota kwa mimea iliyopandwa baadaye.+ Na, tazama! ilikuwa mimea iliyopandwa baadaye baada ya majani yaliyofyekwa ya mfalme.