Amosi 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami nikasema: “Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, tafadhali zuilia.+ Ni nani atakayesimama katika Yakobo? Maana yeye ni mdogo!”+
5 Nami nikasema: “Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, tafadhali zuilia.+ Ni nani atakayesimama katika Yakobo? Maana yeye ni mdogo!”+