Amosi 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha akasema: “Unaona nini,+ Amosi?” Basi nikasema: “Kikapu cha matunda ya wakati wa kiangazi.”+ Na Yehova akaendelea kuniambia: “Mwisho umewafikia watu wangu Israeli.+ Nami sitawasamehe zaidi tena.+ Amosi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 8:2 w07 6/15 12; w07 10/1 14 Amosi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:2 Mnara wa Mlinzi,10/1/2007, uku. 146/15/2007, uku. 124/1/1989, uku. 22
2 Kisha akasema: “Unaona nini,+ Amosi?” Basi nikasema: “Kikapu cha matunda ya wakati wa kiangazi.”+ Na Yehova akaendelea kuniambia: “Mwisho umewafikia watu wangu Israeli.+ Nami sitawasamehe zaidi tena.+