Mika 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nao wataichunga nchi ya Ashuru kwa upanga,+ na nchi ya Nimrodi+ katika malango yake. Naye atatukomboa kutoka kwa Mwashuru,+ anapokuja katika nchi yetu na anapokanyaga juu ya eneo letu. Mika Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:6 Mnara wa Mlinzi,11/15/2013, uku. 208/15/1990, kur. 30-31
6 Nao wataichunga nchi ya Ashuru kwa upanga,+ na nchi ya Nimrodi+ katika malango yake. Naye atatukomboa kutoka kwa Mwashuru,+ anapokuja katika nchi yetu na anapokanyaga juu ya eneo letu.