Habakuki 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndiyo sababu yeye huutolea dhabihu wavu wake wa kukokota na kuufukizia wavu wake wa kuvulia moshi wa dhabihu; kwa maana kwa vitu hivyo fungu lake limetiwa mafuta ya kutosha, na chakula chake ni chenye afya.+
16 Ndiyo sababu yeye huutolea dhabihu wavu wake wa kukokota na kuufukizia wavu wake wa kuvulia moshi wa dhabihu; kwa maana kwa vitu hivyo fungu lake limetiwa mafuta ya kutosha, na chakula chake ni chenye afya.+