Habakuki 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa sababu wewe mwenyewe uliyapora mataifa mengi, mabaki yote ya vikundi vya watu watakupora,+ kwa sababu ya kumwaga damu ya wanadamu na kwa sababu ya dunia kufanyiwa jeuri, mji na wale wote wanaokaa ndani yake.+ Habakuki Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:8 w00 2/1 16 Habakuki Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:8 Mnara wa Mlinzi,2/1/2000, uku. 16
8 Kwa sababu wewe mwenyewe uliyapora mataifa mengi, mabaki yote ya vikundi vya watu watakupora,+ kwa sababu ya kumwaga damu ya wanadamu na kwa sababu ya dunia kufanyiwa jeuri, mji na wale wote wanaokaa ndani yake.+