Zekaria 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi nikasema: “Na wamvike kilemba safi kichwani pake.”+ Nao wakaweka kilemba hicho safi kichwani pake na kumvika mavazi; naye malaika wa Yehova alikuwa amesimama karibu.
5 Basi nikasema: “Na wamvike kilemba safi kichwani pake.”+ Nao wakaweka kilemba hicho safi kichwani pake na kumvika mavazi; naye malaika wa Yehova alikuwa amesimama karibu.