Zekaria 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 na wakaaji wa jiji moja watawaendea wale wa jiji lingine, wakisema: “Twendeni kwa bidii+ tukautulize uso+ wa Yehova na kumtafuta Yehova wa majeshi. Mimi nami nitaenda pia.”+ Zekaria Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 8:21 w96 1/1 21-22 Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:21 Mnara wa Mlinzi,1/1/1996, kur. 21-224/15/1986, uku. 20
21 na wakaaji wa jiji moja watawaendea wale wa jiji lingine, wakisema: “Twendeni kwa bidii+ tukautulize uso+ wa Yehova na kumtafuta Yehova wa majeshi. Mimi nami nitaenda pia.”+