Zekaria 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Piga mayowe, Ee mberoshi, kwa maana mwerezi umeanguka; kwa sababu wenye utukufu wameporwa!+ Pigeni mayowe, enyi miti mikubwa sana ya Bashani, kwa maana msitu usiopenyeka umeanguka!+ Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:2 Mnara wa Mlinzi,5/1/1989, uku. 17
2 Piga mayowe, Ee mberoshi, kwa maana mwerezi umeanguka; kwa sababu wenye utukufu wameporwa!+ Pigeni mayowe, enyi miti mikubwa sana ya Bashani, kwa maana msitu usiopenyeka umeanguka!+