Malaki 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Na sasa, tafadhali, utulizeni uso+ wa Mungu, ili apate kutuonyesha kibali.+ Jambo hilo limetoka mkononi mwenu. Je, atampokea yeyote wenu kwa fadhili?” Yehova wa majeshi amesema. Malaki Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:9 Mnara wa Mlinzi,12/1/1987, uku. 18
9 “Na sasa, tafadhali, utulizeni uso+ wa Mungu, ili apate kutuonyesha kibali.+ Jambo hilo limetoka mkononi mwenu. Je, atampokea yeyote wenu kwa fadhili?” Yehova wa majeshi amesema.