Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye Musa akaanza kuutuliza uso wa Yehova Mungu+ wake na kusema: “Kwa nini, Ee Yehova, hasira+ yako iwake juu ya watu wako ambao uliwatoa katika nchi ya Misri kwa nguvu kuu na kwa mkono wenye nguvu?

  • Yeremia 26:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Je, Hezekia mfalme wa Yuda na wale wote wa Yuda walimuua? Je, hakumwogopa Yehova na kuanza kuutuliza uso wa Yehova,+ hivi kwamba Yehova akajuta ule msiba ambao alikuwa ametangaza juu yao?+ Basi sisi tunajifanyia msiba mkubwa juu ya nafsi zetu.+

  • Yoeli 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Jifungeni mshipi, jipigeni vifua,+ ninyi makuhani. Pigeni mayowe, ninyi wahudumu wa madhabahu.+ Ingieni ndani, kaeni usiku kucha mkiwa mmevaa nguo za magunia, ninyi wahudumu wa Mungu wangu; kwa maana nyumba ya Mungu wenu imenyimwa toleo la nafaka+ na toleo la kinywaji.+

  • Yoeli 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Takaseni wakati wa kufunga.+ Iteni kusanyiko kuu.+ Kusanyeni pamoja wanaume wazee, wakaaji wote wa nchi, kwenye nyumba ya Yehova Mungu wenu,+ mlilieni Yehova awape msaada.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki