Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 6:56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 56 Na kokote alikokuwa akiingia vijijini au majijini au mashambani+ walikuwa wakiweka wale wagonjwa sokoni, nao walikuwa wakiomba ili wapate kuugusa+ tu upindo+ wa vazi lake la nje. Na wote waliougusa wakapona.+

  • Marko 6:56
    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
    • 56 Na kokote alikokuwa akiingia vijijini au majijini au mashambani walikuwa wakiweka wale wagonjwa katika mahali pa masoko, nao walikuwa wakiomba ili wapate kuugusa tu upindo wenye matamvua wa vazi lake la nje. Na wengi kadiri walivyougusa wakaponywa.

  • Marko
    Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019
    • 6:56

      Furahia Maisha Milele!, somo la 16

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki