-
Yohana 9:25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Naye akajibu: “Kama yeye ni mtenda-dhambi mimi sijui. Mimi ninajua jambo moja, kwamba, ingawa nilikuwa kipofu, sasa ninaona.”
-
-
Yohana 9:25Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
25 Naye akajibu: “Kama yeye ni mtenda-dhambi mimi sijui. Jambo moja mimi najua, kwamba, ingawa nilikuwa kipofu, naona sasa.”
-