-
Yohana 18:31Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
31 Kwa sababu hiyo Pilato akawaambia: “Mchukueni nyinyi wenyewe na kumhukumu kulingana na sheria yenu.” Wayahudi wakamwambia: “Hairuhusiki kisheria sisi kumuua mtu yeyote.”
-