Maelezo ya Ziada
^ [1] (fungu la 3) Baadhi ya waabudu wenzetu hawawezi kuhudhuria mikutano kwa ukawaida kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao, kama vile ugonjwa mbaya. Wanaweza kuwa na uhakika kwamba Yehova anaelewa hali yao na anathamini ibada yao ya nafsi yote. Wazee wanaweza kuwasaidia watu wenye hali kama hizo wanufaike na programu ya kiroho, labda kwa kuwaunganisha kupitia simu wakati wa mikutano au kwa kurekodi mikutano hiyo kwa ajili yao.