Maelezo ya Chini
b Ikithibitika kwamba wazazi wako hawana kiasi wala nia ya kusikiliza, huenda likawa jambo la hekima kuongewa kwa usiri na Mkristo mkomavu. Yeye, awe ni mwanamume au mwanamke, hataweza kuingilia ndoa ya wazazi wako lakini aweza kutoa msaada wa kihisia-moyo na ushauri mwema wenye kuitikiwa.