Maelezo ya Chini
b Ni kweli kwamba Sheria ya Kimusa ilijulisha rasmi kwamba mwanamke mwenye hedhi alikuwa “najisi.” (Walawi 15:19-33) Lakini hiyo ilikuwa katika maana ya kisherehe tu. Kwa wazi, sheria hizi zilitumika kufundisha staha kwa utakato wa damu. (Walawi 17:10-12) Wakati ule ule, sheria hizo zilitumika kukumbusha taifa la Kiyahudi kwamba ainabinadamu imezaliwa katika hali yenye dhambi na yahitaji mfidiaji.