Maelezo ya Chini
a Ukosefu wa adili katika ngono hauvumiliwi miongoni mwa Mashahidi wa Yehova, kama vile haukuvumiliwa miongoni mwa Wakristo katika karne ya kwanza. (1 Wakorintho 5:11-13) Hata hivyo, wakosaji waweza kupata usaidizi wa wazee wa kundi wenye upendo. (Yakobo 5:14, 15) Kwa kutubu juu ya mwenendo wao wenye kosa, watu hao waweza kuwa na shangwe ya kupata msamaha wa Mungu na kundi la Kikristo pia.