Maelezo ya Chini
b Chini ya Sheria ya Kimusa, Mungu alitaka mwanamume aliyekuwa ametongoza bikira amwoe. (Kutoka 22:16, 17; Kumbukumbu 22:28, 29) Lakini sheria hiyo ilitumikia mahitaji ya watu wa Mungu chini ya hali za siku na enzi hizo. Na hata ilipokuwa hivyo, haikuwa moja kwa moja kwamba sasa ndoa itafanyika, kwa kuwa baba angeweza kuikataza.—Ona jarida letu andamani Mnara wa Mlinzi, Novemba 15, 1989, “Maswali Kutoka kwa Wasomaji.”