Maelezo ya Chini
a Marx, aliyezaliwa na wazazi Wayahudi katika 1818 katika ile iliyokuwa Prussia wakati huo, alielimishwa katika Ujerumani na kufanya kazi huko akiwa mwandishi wa habari; baada ya 1849 alitumia kadiri kubwa ya maisha yake katika London, alikokufa katika 1883.