Maelezo ya Chini
a Makala hii inashughulika hasa na hali inayokabiliwa na vijana katika nchi zinazoendelea kustawi. Hata hivyo, madokezo yaliyo hapa yana msingi wa kanuni za Biblia na hivyo zitathibitika kuwa zenye msaada kwa vijana wote kuzunguka ulimwengu.