Maelezo ya Chini
b Msomi Mwisraeli Pinchas Lapide asema hivi: “Vifungu vya maneno vya Kitalmudi juu ya Yesu . . . viliharibiwa kabisa, vikapotoshwa, au vikafutiliwa mbali na wakaguzi wa maandishi wa kanisa.” Hivyo “yaelekea sana kwamba mwanzoni Yesu alikuwa na uvutano mwingi zaidi juu ya fasihi ya kirabi zaidi ya vile vipande-vipande tulivyo navyo leo vinavyoshuhudia.”—Israelis, Jews, and Jesus.10