Maelezo ya Chini
a Neno la Kiebrania da·vaqʹ (“ambatana”) “huwa na maana ile ile na kushikamana na mtu kwa upendo na ushikamanifu.” (Theological Wordbook of the Old Testament) Katika Kigiriki, ni asili ile ile ya neno linalomaanisha “kuambatishwa kwa gundi,” “kupiga sementi,” “kuunganisha pamoja kikiki.”