Maelezo ya Chini
a Dakt. Leon Rosenberg wa Chuo Kikuu cha Johns Hopkins, katika Baltimore, Maryland, U.S.A., alisema: “Kufikia wakati mtoto ana umri wa miaka 9, wazazi wapaswa kuwa wameketi pamoja na kuwa na mazungumzo ya mambo mengi kuhusu ngono na adili. Kadiri watoto wapatavyo habari nyingi zaidi kutoka kwa wazazi wao, ndivyo ilivyo bora zaidi.”