Maelezo ya Chini
a Milki ya ulimwengu ya dini bandia inatambulishwa katika Biblia kuwa “Babeli Mkuu, Mama wa Makahaba” malkia aliyemwaga damu ambaye “dhambi zake zimefika hata mbinguni.” (Ufunuo 17:3-6, 16-18; 18:5-7) Kwa maelezo mengi juu ya utambulisho wa Babeli Mkuu, ona kitabu Jitihada ya Ainabinadamu ya Kutafuta Mungu, kurasa 368-71, kilichotangazwa na Watchtower Bible and Tract Society of New York, Inc.