Maelezo ya Chini
a Mashauri mengi mema kuhusu kuwa mzazi kwa njia yenye mafanikio yametiwa ndani ya kitabu Kufanya Maisha ya Jamaa Yako Yawe Yenye Furaha, kilichotangazwa na Watchtower Bible and Tract Society of New York, Inc., sura ya 7 hadi 9, “Kuwa na Watoto—Daraka na Thawabu,” “Daraka Lenu Kama Wazazi,” “Kulea Watoto Tangu Uchanga.”