Maelezo ya Chini
a Sanamu za Afrika zilizochongwa kwa mti, ambazo zamani zilihusishwa sanasana na dini na uwasiliani-roho, mara nyingi hazitumiwi kuwa vitu vya kuchezea na watoto Waafrika. Bw. H. U. Cole, mkurugenzi wa Jumba la Uhifadhi la Sierra Leone katika Freetown, aliambia Amkeni! kwamba kwa sababu ya uvutano wa Magharibi, sanamu hizo sanasana zinazidi kutumiwa kwa makusudi ya kurembesha.