Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Sanamu za Afrika zilizochongwa kwa mti, ambazo zamani zilihusishwa sanasana na dini na uwasiliani-roho, mara nyingi hazitumiwi kuwa vitu vya kuchezea na watoto Waafrika. Bw. H. U. Cole, mkurugenzi wa Jumba la Uhifadhi la Sierra Leone katika Freetown, aliambia Amkeni! kwamba kwa sababu ya uvutano wa Magharibi, sanamu hizo sanasana zinazidi kutumiwa kwa makusudi ya kurembesha.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki