Maelezo ya Chini
a Mjeruhi ni “yule anayeumizwa au kuuawa na mwingine . . . Yule anayeumizwa au kufanywa ateseke kutokana na tendo, hali, kitu au jambo fulani.” Kwa upande mwingine, mfia-imani ni “yule ambaye anachagua kifo badala ya kuacha kanuni za kidini. . . Yule anayejidhabihu sana au kuteseka sana ili kuendeleza itikadi, kusudi, au kanuni fulani.”—The American Heritage Dictionary of the English Language, Toleo la Tatu.