Maelezo ya Chini
c Wastadi fulani waonya kwamba ukimlazimisha mtoto wako abusu au akumbatie kila mtu anayeomba maonyesho hayo ya shauku, huenda usifanikishe mazoezi hayo. Hivyo, wazazi fulani huwafunza watoto waombe radhi kwa heshima au watumie njia nyingine wanapoombwa mambo wasiyotaka.