Maelezo ya Chini
a Ni kweli, mtume Paulo aliwashauri Wakristo ‘wayasahau mambo waliyoacha.’ Lakini Paulo hapa alikuwa akirejezea umashuhuri wake wa mbeleni na ufanisi wa kilimwengu, ambao sasa ulikuwa “kama mavi” kwake. Yeye hakuwa akirejezea dhiki yake ya wakati uliopita, ambayo alisema juu yayo kwa uhuru.—Wafilipi 3:4-6, 8, 13; linganisha 2 Wakorintho 11:23-27.