Maelezo ya Chini
a Maneno “nafsi isiyoweza kufa” hayaonekani mahali popote katika Biblia. Neno “kutokufa” (Kigiriki, a·tha·na·siʹa) laonekana mara tatu tu katika Biblia na si kwa uhusiano na nafsi kamwe. (1 Wakorintho 15:53, 54; 1 Timotheo 6:16) Ili kupata maelezo mengi zaidi juu ya lile litukialo baada ya kufa na tumaini la kweli kwa ajili ya wafu, ona kichapo Kutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko, kurasa 205-12 (Motoni), 232-36 (Nafsi), 261-65 (Roho), na 334-41 (Ufufuo), kilichotangazwa na Watchtower Bible and Tract Society of New York, Inc.
Je! Umepata Kujiuliza? Majibu ya Biblia