Maelezo ya Chini
a Kotekote katika Maandiko, Yehova Mungu husema juu yake kwamba achukia mitazamo na namna za mienendo yenye dhambi. (Kumbukumbu la Torati 16:22; Mithali 6:16-19; 8:13; Isaya 1:14; 61:8) Kwa maoni hayo, ni lazima talaka inayorejezewa kwenye Malaki 2:16 iwe ya aina ambayo ni yenye dhambi machoni pake.