Maelezo ya Chini
a Utibabu wa kurudisha maji mwilini kupitia mdomoni huandalia watoto umajimaji, chumvi, na glukosi ambavyo vyahitajiwa kuzuia athari za ugonjwa wa kuhara za kukausha maji mwilini na kuleta kifo. Shirika la Afya Ulimwenguni liliripoti katika 1990 kwamba uhai wa watu zaidi ya milioni moja kwa mwaka unaokolewa na mbinu hiyo. Kwa maelezo zaidi, ona toleo la Februari 8, 1987 la Amkeni!, kurasa 21-23.