Maelezo ya Chini
a Kwa habari ya usemi “unyenyekeo kamili” kwenye 1 Timotheo 2:11, (New International Version), mwanachuo wa Biblia W. E. Vine ataarifu hivi: “Agizo hilo halielekezwi juu ya kuacha kutumia akili na dhamiri, wala kuuacha wajibu wa kutumia uamuzi wa kibinafsi; kifungu hiki ‘utii wote’ ni onyo dhidi ya kunyakua mamlaka, kama vile, kwa kielelezo, katika mstari unaofuata.”