Maelezo ya Chini
b Maneno “yenye kujengwa haraka” yarejezea mbinu ya ujenzi yenye kupangwa kwa ustadi sana iliyositawishwa na Mashahidi wa Yehova. Wafanyakazi wa kujitolea wanaofanya kazi kwenye miradi hiyo ya ujenzi hawalipwi; wao hutoa kwa hiari wakati wao na mali zao. Kule Marekani, karibu Majumba ya Ufalme 200 hujengwa kila mwaka, na mengine 200 hufanyizwa upya kwa kutumia mbinu hiyo ya ujenzi.