Maelezo ya Chini
a Herodotus adokeza kwamba ibada ya Pan iliathiriwa na Wamisri, ambao ilikuwa kawaida miongoni mwao kuabudu mbuzi. Kile kifungu cha maneno “roho waovu wenye umbo la mbuzi” (“majini,” UV) kipatikanacho katika Biblia huenda kikawa chadokeza namna hii ya ibada ya kipagani.—Mambo ya Walawi 17:7; 2 Mambo ya Nyakati 11:15, NW.