Maelezo ya Chini
a Kwa hakika, Biblia haifunzi kwamba dunia iliumbwa kwa siku sita halisi (saa 144). Kwa habari zaidi kuhusu kueleweka vibaya huku, ona Life—How Did It Get Here? By Evolution or by Creation?, kurasa 25-37, kilichotangazwa na Watchtower Bible and Tract Society of New York, Inc.