Maelezo ya Chini
b Likiitwa mwanzoni Kanisa la Kristo, kwenye Aprili 26, 1838, lilikuja kuwa Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku-za-Baadaye, au LDS. Ingawa LDS ni utambulisho unaopendelewa na washiriki, jina Mormon (lililotolewa kutoka The Book of Mormon) pia latumiwa katika mfululizo wa makala hizi, kwa kuwa linajulikana sana kwa wasomaji wengi.