Maelezo ya Chini
a Biblia hutumia jiji la kale la Babiloni kuwa mfano wa milki ya ulimwengu ya dini isiyo ya kweli, kwa kuwa ni katika jiji hili ambapo mawazo mengi ya kidini yasiyo ya kimaandiko yalianzia. Kwa kipindi cha karne nyingi mawazo haya ya Kibabiloni yalikuja kuenea katika dini kuu za ulimwengu.