Maelezo ya Chini
b Huo ugonjwa waweza pia kuenezwa kupitia utiaji-damu mishipani na kwa kutumia pamoja sindano zitumiwazo kutia dawa za kulevya mishipani. Baadhi ya Wakristo wasio na hatia wamepata huo ugonjwa kutoka kwa wenzi ambao wamekuwa na ukosefu wa adili katika ngono au waliotumia dawa za kulevya.