Maelezo ya Chini
a Tahadhari ya Paulo kwenye 1 Wakorintho 7:1 ya ‘kutomgusa mwanamke’ yaonekana yarejezea kugusa kingono, bali si mguso wa kawaida. (Linganisha Mithali 6:29.) Katika huo muktadha, Paulo anahimiza useja na kuonya dhidi ya kujiingiza katika ukosefu wa adili kingono.—Ona “Maswali Kutoka kwa Wasomaji” katika Mnara wa Mlinzi la Januari 1, 1973, la Kiingereza.