Maelezo ya Chini
a Uchapaji wa Kifaransa ulikuwa wenye mafanikio sana hivi kwamba wakati Baraza la Kuhukumu Wazushi la Hispania lilipoagiza kukusanywa kwa habari za Biblia za kigeni katika mwaka wa 1552, baraza la mahakimu la Seville liliripoti kwamba asilimia 90 hivi ya zile zilizotwaliwa zilikuwa zimechapishwa Ufaransa!