Maelezo ya Chini
b Katika nchi nyingine, mapokeo hushikilia kwamba wanawake hawapaswi kula samaki, mayai, au kuku wakati wa ujauzito, kwa kuogopa kumwumiza mtoto asiyezaliwa bado. Wakati mwingine desturi hudai kwamba mwanamke ale chakula kilichobakia, mara baada ya wanaume na wavulana wanapomaliza kula.